Ada Za Vyuo Vya Afya Vya Serikali Tanzania | 2026

Pata muhtasari wa ada na gharama za vyuo vya afya vya serikali Tanzania, kuanzia ngazi ya cheti hadi shahada za uzimivu ikiwa na fee structure kamili, pamoja na mwongozo wa taarifa hizi kwa wanaohitaji kujua zaidi kabla ya kuomba.

Mambo 5 ya Kuzingatia Kuyakwepa Kabla na Baada ya Kusoma Gharama

  • Kuanza kuomba chuo bila kujua ada halisi.
  • Kudhani gharama za kozi zinafanana vyuo vyote.
  • Kupuuzia gharama za ziada kama vifaa, hosteli na usafiri.
  • Kutegemea taarifa za watu kuliko chanzo rasmi.
  • Kuchagua kozi kwa haraka bila kulinganisha gharama na uwezo wako.

ada za vyuo mbalimbali za afya

Zifuatazo ni ada za vyuo mbalimbali vya afya nchini Tanzania, pamoja na gharama kuu za programu za cheti, diploma na degree kwa wanafunzi wanaotafuta taarifa sahihi kabla ya kujiunga.

vyuo vinavyotoa kozi za cheti

Institution Name District / Council Fee Range (TSh / Year)
Kibaha College of Health and Allied Sciences Kibaha DC 1,000,000 – 1,300,000
Mbeya College of Health and Allied Sciences Mbeya CC 1,000,000 – 1,300,000
Kilosa Clinical Officers Training Centre Kilosa DC 1,000,000 – 1,200,000
Kibondo School of Nursing Kibondo DC 1,000,000 – 1,200,000
Kibondo Clinical Officers Training Centre Kibondo DC 1,000,000 – 1,200,000
Morogoro College of Health Science Morogoro MC 1,000,000 – 1,300,000

vyuo vinavyotoa kozi za Astashahada

Institution Name District / Council Fee Range (TSh / Year)
Kibaha College of Health and Allied Sciences Kibaha DC 1,200,000 – 1,500,000
Clinical Officers Training Centre – Musoma Musoma DC 1,200,000 – 1,400,000
Clinical Officers Training Centre – Kigoma Kigoma-Ujiji MC 1,200,000 – 1,400,000
Kilosa Clinical Officers Training Centre Kilosa DC 1,200,000 – 1,400,000
Mbeya College of Health and Allied Sciences Mbeya CC 1,200,000 – 1,500,000
Morogoro College of Health Science Morogoro MC 1,200,000 – 1,500,000
Mtwara College of Health & Allied Sciences Mtwara DC 1,200,000 – 1,400,000
Kibondo Clinical Officers Training Centre Kibondo DC 1,200,000 – 1,300,000
Kahama School of Nursing Kahama TC 1,200,000 – 1,400,000

Vyuo Vinavyotoa Shahada

Institution Name District / City Fee Range (TSh / Year)
Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) Ilala MC 1,800,000 – 2,200,000
University of Dodoma (UDOM) – School of Medicine & Nursing Dodoma MC 1,500,000 – 2,000,000
State University of Zanzibar (SUZA) – School of Health & Medical Sciences West B District 1,600,000 – 2,000,000
Mbeya University of Science & Technology (MUST) – Health Dept. Mbeya CC 1,300,000 – 1,800,000
Mzumbe University – Health Systems Management Mvomero District 1,300,000 – 1,700,000
Ardhi University – Environmental Health Programmes Kinondoni MC 1,400,000 – 1,900,000

Vyuo Vinavyotoa Shahada Ya uzamili

Institution Name District / City Fee Range (TSh / Year)
Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) Ilala MC 3,000,000 – 7,000,000
University of Dodoma (UDOM) – School of Medicine / Public Health Dodoma MC 2,500,000 – 4,000,000
State University of Zanzibar (SUZA) – School of Health & Medical Sciences West B District 2,500,000 – 4,000,000
Sokoine University of Agriculture (SUA) – Public Health & Food Safety Morogoro MC 2,000,000 – 3,500,000
Mzumbe University – Health Systems Management Mvomero District 2,000,000 – 3,000,000
The Open University of Tanzania (OUT) – Public Health / Environmental Health Kinondoni MC 1,800,000 – 2,500,000
Ardhi University – Environmental Health Sciences Kinondoni MC 2,000,000 – 3,000,000

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *