Viwango Vya Mishahara Ya Walimu Serikalini 2026 ngazi zote
Serikali imeweka wazi viwango vya mishahara ya walimu serikalini kulingana na madaraja yao ya kazi (TGTS), yakihusisha kuanzia mishahara ya walimu wa shule ya msingi hadi mishahara ya walimu wa sekondari na wale wenye shahada. Katika makala hii utapata muhtasari wa mishahara ya walimu Tanzania, ikiwemo mishahara ya walimu degree na wapi kupata mishahara ya…